Kinondoni Mikocheni.
Bawasili husababishwa na nini?
Hakuna sababu ya moja kwa moja inayojulikana kisayansi kwamba ndiyo husababisha bawasiri, bali mambo yafuatayo yanaweza kukufanya ukapata ugonjwa huu:
Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
Ujauzito; wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa.
Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
Uzee; kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.
Sababu za kurithi; baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni kwa asilimia ndogo.
Kuharisha kwa muda mrefu.
Kutumia vyoo vya kukaa.
Kunyanyua vyuma vizito.
Mfadhaiko
Uzito na unene kupita kiasi.
Dalili zake
Ili kujua kama una ugonjwa huu ni lazima utasikia maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa, kinyesi kunuka damu wakati wa kujisaidia.
Dalili nyingine ni muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa, uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa na haja kubwa inaweza kutoka bila taarifa muda wowote.
KWATIBA NA USHAULI TUMA SMS AU PIGA SIMU HAPO CHINI
Learn about new items, custom picked just for you.